Baadhi ya Viongozi wa Wizara ya Madini na Taasisi Zake Wakiwa Kwenye Kikao Pamoja na Kiongozi wa Kampuni ya BHP Jijini London, Uingereza.
Utafiti wa awali na kuainisha madini yanayopatikana katika Mkoa wa Mtwara hatua iliyosaidia wananchi kukata leseni ya utafiti na kujihusisha na uchimbaji wa dhahabu ambao unawapatia kipato hasa katika maeneo ya Nanyumbu na Masasi mkoani humo
Kamati ya Nishati na Madini Ilipotembelea Maabara ya Uchenjuaji Madini - Mbwanga, GST Dodoma.
Kifaa cha Uchunguzi Kwenye Udongo
Kifaa Kinachotumika Kupima jioteknolojia ya Miamba.
Utafiti wa Kufahamu Mbinu za Uchenjuaji Madini Kwa Kutumia Uchenjuaji Endelevu
Kifaa cha Kupima Sampuli za Miamba
Mashine ya Utambuzi wa Madini
Wataalam wakiwa katika eneo la Msitu wa Hifadhi uliopo Kijiji cha Nanjilinji Wilayani Kilwa Mkoa wa Lindi wakati
wakitekeleza majukumu yao ya utafiti wa Madini Septemba 23, 2023.
Viongozi wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini (GST) wakifuatilia hotuba ya Waziri Mhe. Anthony Peter Mavunde Septemba 4, 2023.